21 Na hivi ndivyo vikundi vya makuhani+ na vya Walawi+ kwa ajili ya utumishi wote wa nyumba ya Mungu wa kweli. Una wafanyakazi walio tayari, na wenye ustadi wa kufanya utumishi wa kila aina,+ na pia wakuu+ na watu wote watakaotekeleza maagizo yako yote.”