21 Na tazama, hii ndiyo migawanyo ya makuhani+ na ya Walawi+ kwa ajili ya utumishi wote wa nyumba ya Mungu wa kweli; na kila mtu ambaye ni mwenye kupenda+ na mwenye ustadi kwa ajili ya utumishi+ wote yuko pamoja nawe katika kazi yote, na pia wakuu+ na watu wote, kwa ajili ya maneno yako yote.”