28 Nikutanishie wanaume wote wazee wa makabila yenu na maofisa wenu,+ na acheni niseme masikioni mwao maneno haya, na acheni nichukue mbingu na dunia ziwe mashahidi dhidi yao.+
2 ndipo Yoshua akaita Israeli wote,+ wanaume wao wazee na wakuu wao na waamuzi wao na maofisa wao,+ naye akawaambia: “Mimi nimekuwa mzee, siku zangu zimekuwa nyingi.