12 na katika majiji yote mbalimbali akaweka ngao+ kubwa na mikuki;+ naye akaendelea kuyaimarisha kwa kiwango kikubwa sana. Na watu wa Yuda na Benyamini wakaendelea kuwa wake.
23 Hata hivyo, akatenda kwa uelewaji+ na kuwagawanya baadhi ya wanawe wote kwenye nchi zote za Yuda na Benyamini,+ kwenye majiji yote yenye ngome,+ akawapa chakula kwa wingi+ na kuwachukulia wake wengi.+