Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,+

      Wala kwa uovu sikuondoka kwa Mungu wangu.+

  • Zaburi 119:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 119 Wenye furaha ni wale wasio na kosa katika njia yao,+

      Wale wanaotembea katika sheria ya Yehova.+

  • Hosea 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+

  • Yohana 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo, baada ya kufanya mjeledi wa kamba, akawafukuza hekaluni wale wote wenye kondoo na ng’ombe, akamwaga sarafu za waliokuwa wakibadili pesa na kupindua meza zao.+

  • Matendo 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao walipokuwa wameomba dua, mahali hapo walipokuwa wamekusanyika pamoja pakatikiswa;+ nao wote wakajazwa roho takatifu+ na wakawa wakisema neno la Mungu kwa ujasiri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki