9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+
15 Kwa hiyo, baada ya kufanya mjeledi wa kamba, akawafukuza hekaluni wale wote wenye kondoo na ng’ombe, akamwaga sarafu za waliokuwa wakibadili pesa na kupindua meza zao.+
31 Nao walipokuwa wameomba dua, mahali hapo walipokuwa wamekusanyika pamoja pakatikiswa;+ nao wote wakajazwa roho takatifu+ na wakawa wakisema neno la Mungu kwa ujasiri.+