2 Samweli 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Enyi milima ya Gilboa,+ umande wowote, wala mvua yoyote isinyeshe juu yenu, wala kusiwe na mashamba ya michango mitakatifu;+Kwa sababu ngao ya wenye uwezo ilichafuliwa hapo,Ngao ya Sauli, hata kukawa hakuna yoyote iliyotiwa mafuta.+ 2 Mambo ya Nyakati 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Asa akawa na jeshi lenye kuchukua ngao kubwa+ na mkuki,+ watu 300,000 kutoka Yuda.+ Na kutoka Benyamini wale wanaochukua ngao ndogo na kupinda upinde+ walikuwa 280,000.+ Hao wote walikuwa mashujaa, wanaume wenye nguvu.
21 Enyi milima ya Gilboa,+ umande wowote, wala mvua yoyote isinyeshe juu yenu, wala kusiwe na mashamba ya michango mitakatifu;+Kwa sababu ngao ya wenye uwezo ilichafuliwa hapo,Ngao ya Sauli, hata kukawa hakuna yoyote iliyotiwa mafuta.+
8 Na Asa akawa na jeshi lenye kuchukua ngao kubwa+ na mkuki,+ watu 300,000 kutoka Yuda.+ Na kutoka Benyamini wale wanaochukua ngao ndogo na kupinda upinde+ walikuwa 280,000.+ Hao wote walikuwa mashujaa, wanaume wenye nguvu.