2 Mambo ya Nyakati 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akajenga majiji yenye ngome katika Yuda,+ kwa maana nchi haikuwa na usumbufu; na hapakuwa na vita juu yake wakati wa miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpa pumziko.+
6 Naye akajenga majiji yenye ngome katika Yuda,+ kwa maana nchi haikuwa na usumbufu; na hapakuwa na vita juu yake wakati wa miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpa pumziko.+