3 Basi Abiya akaingia vitani na jeshi la wanaume wenye nguvu wa vita,+ mia nne elfu, wanaume waliochaguliwa. Naye Yeroboamu akajipanga kivita kupigana naye akiwa na wanaume waliochaguliwa mia nane elfu, mashujaa, wanaume wenye nguvu.+
8 Na Asa akawa na jeshi lenye kuchukua ngao kubwa+ na mkuki,+ watu 300,000 kutoka Yuda.+ Na kutoka Benyamini wale wanaochukua ngao ndogo na kupinda upinde+ walikuwa 280,000.+ Hao wote walikuwa mashujaa, wanaume wenye nguvu.