27 Kwa maana Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri,+ na ni nani anayeweza kulivunja?+ Na mkono wake umenyooshwa, na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+
3 “Mambo ya kwanza nimeyatangaza tangu wakati ule, nayo yalitoka katika kinywa changu mwenyewe, nami nikaendelea kuyafanya yasikiwe.+ Kwa ghafula nilitenda, na mambo yale yakafika.+