24 Mwishowe Asa akalala pamoja na mababu zake,+ naye akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake;+ na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
3 Na Ahabu mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati mfalme wa Yuda: “Je, utaenda pamoja nami kule Ramothi-gileadi?”+ Ndipo akamwambia: “Mimi ni sawa na wewe, na watu wangu ni kama watu wako na tu pamoja nawe katika vita.”+