1 Wafalme 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+
17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+