2 Mambo ya Nyakati 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Sedekia+ mwana wa Kenaana+ akakaribia, akampiga Mikaya+ kwenye shavu+ na kusema: “Ni katika njia gani hasa roho ya Yehova ilinipita mimi ikaenda kusema na wewe?”+
23 Sasa Sedekia+ mwana wa Kenaana+ akakaribia, akampiga Mikaya+ kwenye shavu+ na kusema: “Ni katika njia gani hasa roho ya Yehova ilinipita mimi ikaenda kusema na wewe?”+