2 Samweli 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+ 2 Wafalme 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Katika siku zake Edomu+ waliasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, nao wakaweka mfalme+ atawale juu yao. Zaburi 108:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Moabu+ ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu+ changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi+ juu ya Ufilisti.”+
14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
20 Katika siku zake Edomu+ waliasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, nao wakaweka mfalme+ atawale juu yao.
9 Moabu+ ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu+ changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi+ juu ya Ufilisti.”+