1 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Atachukua watumishi wenu wanaume na wajakazi wenu na mifugo yenu iliyo bora zaidi, na punda wenu, naye atawatumia kwa kazi yake.+ 2 Wafalme 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi akainua uso wake kuelekea lile dirisha na kusema: “Ni nani aliye pamoja nami? Ni nani?”+ Mara moja maofisa+ wawili au watatu wa makao ya mfalme wakaangalia chini kumtazama.
16 Atachukua watumishi wenu wanaume na wajakazi wenu na mifugo yenu iliyo bora zaidi, na punda wenu, naye atawatumia kwa kazi yake.+
32 Basi akainua uso wake kuelekea lile dirisha na kusema: “Ni nani aliye pamoja nami? Ni nani?”+ Mara moja maofisa+ wawili au watatu wa makao ya mfalme wakaangalia chini kumtazama.