Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Hata hivyo, Wamidiani wakamuuza Misri kwa Potifa, ofisa wa makao ya Farao,+ mkuu wa walinzi.+

  • 1 Samweli 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kutoka nafaka ya mashamba yenu na mazao ya mashamba yenu ya mizabibu atachukua sehemu ya kumi,+ naye atawapa maofisa+ wake wa makao ya mfalme na watumishi wake.

  • 2 Wafalme 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo mfalme akamuuliza yule mwanamke, naye akamsimulia hadithi ile.+ Kisha mfalme akampa mwanamke huyo ofisa wa makao ya mfalme,+ akisema: “Rudisha mali yote ya mwanamke huyu na mazao yote ya shamba lake tangu siku alipotoka katika nchi mpaka sasa.”+

  • Esta 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku ya saba, moyo wa mfalme ulipokuwa umechangamshwa na divai,+ aliwaambia Mehumani, Biztha, Harbona,+ Bigtha na Abagtha, Zethari na Karkasi, wale maofisa saba wa makao ya mfalme waliokuwa wakihudumu+ mbele ya Mfalme Ahasuero,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki