15 Na kutoka nafaka ya mashamba yenu na mazao ya mashamba yenu ya mizabibu atachukua sehemu ya kumi,+ naye atawapa maofisa+ wake wa makao ya mfalme na watumishi wake.
6 Ndipo mfalme akamuuliza yule mwanamke, naye akamsimulia hadithi ile.+ Kisha mfalme akampa mwanamke huyo ofisa wa makao ya mfalme,+ akisema: “Rudisha mali yote ya mwanamke huyu na mazao yote ya shamba lake tangu siku alipotoka katika nchi mpaka sasa.”+
10 Siku ya saba, moyo wa mfalme ulipokuwa umechangamshwa na divai,+ aliwaambia Mehumani, Biztha, Harbona,+ Bigtha na Abagtha, Zethari na Karkasi, wale maofisa saba wa makao ya mfalme waliokuwa wakihudumu+ mbele ya Mfalme Ahasuero,