Zaburi 82:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Iweni waamuzi kwa ajili ya mtu wa hali ya chini na mvulana asiye na baba.+Kwa mtu mwenye kuteseka na maskini, mtendeeni haki.+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+ Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+ Methali 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Fungua kinywa chako, hukumu kwa uadilifu na kutetea mtu mwenye kuteseka na maskini.+
3 Iweni waamuzi kwa ajili ya mtu wa hali ya chini na mvulana asiye na baba.+Kwa mtu mwenye kuteseka na maskini, mtendeeni haki.+