Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tena akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akisema: “Mfalme wa Moabu ameniasi. Je, utaenda pamoja nami kuwapiga vita Moabu?” Naye akasema: “Nitaenda.+ Mimi ni sawa na wewe; watu wangu ni sawa na watu wako;+ farasi wangu ni sawa na farasi wako.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Ahabu mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati mfalme wa Yuda: “Je, utaenda pamoja nami kule Ramothi-gileadi?”+ Ndipo akamwambia: “Mimi ni sawa na wewe, na watu wangu ni kama watu wako na tu pamoja nawe katika vita.”+

  • Methali 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki