7 Tena akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akisema: “Mfalme wa Moabu ameniasi. Je, utaenda pamoja nami kuwapiga vita Moabu?” Naye akasema: “Nitaenda.+ Mimi ni sawa na wewe; watu wangu ni sawa na watu wako;+ farasi wangu ni sawa na farasi wako.”
3 Na Ahabu mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati mfalme wa Yuda: “Je, utaenda pamoja nami kule Ramothi-gileadi?”+ Ndipo akamwambia: “Mimi ni sawa na wewe, na watu wangu ni kama watu wako na tu pamoja nawe katika vita.”+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+