4 Naye akamwambia Yehoshafati: “Je, utaenda pamoja nami kupigana kule Ramothi-gileadi?”+ Ndipo Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli: “Mimi ni sawa na wewe. Watu wangu ni sawa na watu wako.+ Farasi zangu ni sawa na farasi zako.”
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+