Hesabu 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.” Methali 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+
21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”