Kumbukumbu la Torati 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Usilitumie jina la Yehova Mungu wako katika njia ya ubatili,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kumwadhibu, yeyote ambaye analitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+ 2 Mambo ya Nyakati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo mfalme akamwambia: “Ninakuapisha mara ngapi+ kwamba usiniambie jambo lolote ila kweli katika jina la Yehova?”+
11 “‘Usilitumie jina la Yehova Mungu wako katika njia ya ubatili,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kumwadhibu, yeyote ambaye analitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+
15 Kwa hiyo mfalme akamwambia: “Ninakuapisha mara ngapi+ kwamba usiniambie jambo lolote ila kweli katika jina la Yehova?”+