Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na itakuwa kwamba ikiwa watakuambia, ‘Tutoke twende wapi?’ wewe pia uwaambie, ‘Yehova amesema hivi: “Yeyote aliyekusudiwa tauni yenye kufisha, aende kwenye tauni yenye kufisha! Na yeyote aliyekusudiwa upanga, aende kwenye upanga! Na yeyote aliyekusudiwa njaa, aende kwenye njaa!+ Na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani, aende utekwani!”’+

  • Yeremia 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi kumhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kumhusu Sedekia mwana wa Maaseya, ambao wanawatolea ninyi unabii wa uwongo katika jina langu mwenyewe,+ ‘Tazama, nitawatia mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye atawapiga na kuwaua mbele ya macho yenu.+

  • Ezekieli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Sema, ‘Mimi ni ishara+ kwenu. Kama vile nilivyotenda, ndivyo watakavyotendewa. Wataenda uhamishoni, utekwani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki