Yeremia 29:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Watumie ujumbe watu wote waliopelekwa uhamishoni, ukisema, ‘Yehova anasema hivi kumhusu Shemaya wa Nehelamu: “Kwa sababu Shemaya aliwatabiria, ingawa sikumtuma, naye akajaribu kuwafanya mtumaini uwongo,+
31 “Watumie ujumbe watu wote waliopelekwa uhamishoni, ukisema, ‘Yehova anasema hivi kumhusu Shemaya wa Nehelamu: “Kwa sababu Shemaya aliwatabiria, ingawa sikumtuma, naye akajaribu kuwafanya mtumaini uwongo,+