-
Ezekieli 13:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “‘Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “‘Kwa sababu mmesema uwongo na maono yenu ni ya uwongo, mimi niko dhidi yenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+ 9 Mkono wangu uko dhidi ya manabii ambao maono yao ni ya uwongo na wanaotabiri uwongo.+ Nao hawatakuwa miongoni mwa watu ninaowaambia siri zangu; wala hawataandikwa katika orodha ya watu wa nyumba ya Israeli; wala hawatarudi katika nchi ya Israeli; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+
-