1 Samweli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+ Maombolezo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+Mlikuwa katikati yake wale wanaomwaga damu ya waadilifu.+
13 Kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+Mlikuwa katikati yake wale wanaomwaga damu ya waadilifu.+