Luka 11:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+ Yohana 8:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 na bado hamjamjua.+ Lakini mimi ninamjua.+ Na ikiwa ningesema simjui ningekuwa mwongo kama ninyi. Lakini mimi ninamjua, nami ninalishika neno lake.+
52 “Ole wenu ninyi wenye ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu mliuondoa ufunguo wa ujuzi;+ ninyi wenyewe hamkuingia, na wale wanaoingia mliwazuia!”+
55 na bado hamjamjua.+ Lakini mimi ninamjua.+ Na ikiwa ningesema simjui ningekuwa mwongo kama ninyi. Lakini mimi ninamjua, nami ninalishika neno lake.+