Yeremia 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Makuhani hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi?’+ Wale wanaoshughulika na Sheria hawakunijua,Wachungaji waliniasi,+Manabii walitabiri kupitia Baali,+Nao wakawafuata wale ambao hawangewafaidi hata kidogo.
8 Makuhani hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi?’+ Wale wanaoshughulika na Sheria hawakunijua,Wachungaji waliniasi,+Manabii walitabiri kupitia Baali,+Nao wakawafuata wale ambao hawangewafaidi hata kidogo.