19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+
13 “Na katika manabii wa Samaria+ mimi nimeona jambo lisilofaa. Wametenda kama manabii waliochochewa na Baali,+ nao wanaendelea kuwafanya watu wangu, Israeli, waende huku na huku.+