Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. Ezekieli 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Au kama ningeuleta upanga juu ya nchi hiyo,+ nami niseme: “Upanga wenyewe upite katikati ya nchi,” nami nimkatilie mbali mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa,+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
17 “ ‘Au kama ningeuleta upanga juu ya nchi hiyo,+ nami niseme: “Upanga wenyewe upite katikati ya nchi,” nami nimkatilie mbali mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa,+