12 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Katika mahali hapa palipo ukiwa bila mwanadamu na hata mnyama wa kufugwa+ na katika majiji yake yote bado patakuwa na uwanja wa malisho wa wachungaji wanaolilaza kundi.’+
13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.
3 Ndiyo sababu nchi itaomboleza+ na kila mkaaji ndani yake atadhoofika pamoja na mnyama wa mwituni na kiumbe kinachoruka cha mbinguni, na hata samaki wa baharini watakusanywa katika kifo.+
3 “Nitammaliza kabisa mtu wa udongo na mnyama.+ Nitamaliza kiumbe kinachoruka cha mbinguni na samaki wa baharini,+ na vikwazo pamoja na waovu;+ nami nitamkatilia mbali mwanadamu kutoka katika uso wa nchi,”+ asema Yehova.