Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja ambaye tunaweza kumuuliza Yehova kupitia yeye;+ lakini hakika mimi ninamchukia,+ kwa maana yeye hatoi unabii wa mambo mema kunihusu mimi, ila mabaya+—Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme asiseme jambo kama hilo.”+

  • Amosi 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Katika lango wao wamemchukia mwenye kukaripia,+ nao humchukia msemaji wa mambo makamilifu.+

  • Luka 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini raia zake wakamchukia+ na kutuma baraza la mabalozi kumfuata, na kusema, ‘Hatumtaki mtu huyu awe mfalme juu yetu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki