1 Wafalme 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+ Methali 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tamaa inapotimizwa inafurahisha nafsi;+ lakini kuepuka yaliyo mabaya ni chukizo kwa wajinga.+ Isaya 29:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 wale wanaomwingiza mtu ndani ya dhambi kwa neno lake,+ na wale wanaotega mtego kwa ajili ya yule anayekaripia langoni,+ na wale wanaomsukuma kando mwadilifu kwa mabishano matupu.+
17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+
21 wale wanaomwingiza mtu ndani ya dhambi kwa neno lake,+ na wale wanaotega mtego kwa ajili ya yule anayekaripia langoni,+ na wale wanaomsukuma kando mwadilifu kwa mabishano matupu.+