Methali 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyetenda kwa haki ni chukizo kwa waadilifu,+ na mtu mnyoofu katika njia yake ni chukizo kwa mwovu.+ Amosi 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Katika lango wao wamemchukia mwenye kukaripia,+ nao humchukia msemaji wa mambo makamilifu.+
27 Mtu asiyetenda kwa haki ni chukizo kwa waadilifu,+ na mtu mnyoofu katika njia yake ni chukizo kwa mwovu.+