Ezekieli 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wakuu wake walio katikati yake ni kama mbwa-mwitu wanaorarua mawindo katika kumwaga damu,+ katika kuangamiza nafsi kusudi wapate pato lisilo la haki.+ Amosi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sikieni hili, ninyi mnaouma maskini,+ ili kuwakomesha wapole wa dunia,+ Sefania 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+
27 Wakuu wake walio katikati yake ni kama mbwa-mwitu wanaorarua mawindo katika kumwaga damu,+ katika kuangamiza nafsi kusudi wapate pato lisilo la haki.+
3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+