25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+
68 Na hakika Yehova atakurudisha Misri kwa meli katika njia ambayo nilikuambia hivi kuihusu, ‘Hutaiona tena kamwe,’+ nanyi mtalazimika kujiuza huko kwa adui zenu kuwa watumwa na vijakazi,+ lakini hakutakuwa na mtu wa kuwanunua.”