Amosi 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninyi watu mnaojilaza katika vitanda vya pembe za tembo+ na kujitandaza katika vitanda vyao, na mnaokula kondoo-dume kati ya kundi na ng’ombe-dume wachanga kutoka kati ya ndama waliononeshwa;+ Amosi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Basi sasa wataenda uhamishoni wakiwa mbele ya wale wanaoenda uhamishoni,+ na karamu za kupindukia za wale wanaojitandaza zitaondoka.
4 Ninyi watu mnaojilaza katika vitanda vya pembe za tembo+ na kujitandaza katika vitanda vyao, na mnaokula kondoo-dume kati ya kundi na ng’ombe-dume wachanga kutoka kati ya ndama waliononeshwa;+
7 “Basi sasa wataenda uhamishoni wakiwa mbele ya wale wanaoenda uhamishoni,+ na karamu za kupindukia za wale wanaojitandaza zitaondoka.