2 “Na wewe, Ee Mwana wa binadamu, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia nchi ya Israeli, ‘Mwisho, ule mwisho, umekuja juu ya miisho minne ya nchi.+
23 Kwa hiyo waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Hakika nitalifanya neno hili la kimethali likome, nao hawatalisema tena kama methali katika Israeli.” ’+ Lakini waambie, ‘Siku zimekaribia,+ na jambo linalohusu maono yote.’
2 Kisha akasema: “Unaona nini,+ Amosi?” Basi nikasema: “Kikapu cha matunda ya wakati wa kiangazi.”+ Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwisho umewafikia watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+