10 Tunaendelea kupapasa tukiutafuta ukuta kama vipofu, nasi tunaendelea kupapasa kama wale wasio na macho.+ Tumejikwaa katikati ya mchana kama katika giza la jioni; kati ya wenye nguvu sisi ni kama wafu tu.+
17 Nami nitawataabisha wanadamu, nao watatembea kama vipofu;+ kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+ Na damu yao itamwagwa kama mavumbi,+ na matumbo yao kama mavi.+