Mwanzo 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo akaendelea kuyaangamiza majiji hayo, hata Wilaya yote na wakaaji wote wa hayo majiji na mimea ya udongo.+ Danieli 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+
25 Kwa hiyo akaendelea kuyaangamiza majiji hayo, hata Wilaya yote na wakaaji wote wa hayo majiji na mimea ya udongo.+
12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+