Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Loti akainua macho yake na kuona Wilaya yote ya Yordani,+ kwamba yote ilikuwa eneo lililokuwa na maji mengi kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora, kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri mpaka Soari.+

  • Zaburi 107:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nchi yenye kuzaa iwe nchi ya chumvi,+

      Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa humo.

  • Yeremia 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kama ilivyotokea katika maangamizi ya Sodoma na Gomora na miji yake jirani,”+ Yehova amesema, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa hapo, na hakuna mwana wa binadamu atakayekaa ndani yake akiwa mgeni.+

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo, kama ninavyoishi,”+ asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, “Moabu atakuwa tu kama Sodoma,+ na wana wa Amoni+ kama Gomora, mahali penye upupu, na shimo la chumvi, na mahame yenye ukiwa, mpaka wakati usio na kipimo.+ Mabaki ya watu wangu watawapora, na mabaki ya taifa langu mwenyewe watawamiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki