Ezekieli 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwa wana wa Amoni na kutoa unabii juu yao.+ Amosi 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya wana wa Amoni,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia,+ kwa sababu waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi, kwa kusudi la kupanua eneo lao wenyewe.+
13 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya wana wa Amoni,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia,+ kwa sababu waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi, kwa kusudi la kupanua eneo lao wenyewe.+