Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na, kwa upande mwingine, kama ninavyoishi, dunia yote itajaa utukufu wa Yehova.+

  • Isaya 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Inua macho yako pande zote, uone. Wote wamekusanywa pamoja.+ Wamekujia. “Kama ninavyoishi,” asema Yehova,+ “utajivika hao wote kana kwamba ni kwa mapambo, nawe utajifunga hao kama bibi-arusi.+

  • Yeremia 46:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ ‘kama Tabori+ kati ya milima na kama Karmeli+ kando ya bahari yeye ataingia.

  • Waroma 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kwa maana imeandikwa: “ ‘Kama ninavyoishi,’ asema Yehova,+ ‘kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utakiri waziwazi kwa Mungu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki