Mwanzo 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+ Ezekieli 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nitafanya matendo ya hukumu katika Moabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+ Amosi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Moabu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa kuwa aliteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu ili kupata chokaa.+
24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+
2 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Moabu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa kuwa aliteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu ili kupata chokaa.+