Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kiberiti na chumvi+ na kuwaka,+ hivi kwamba nchi yake yote haitapandwa, wala kuchipuka, wala mmea wowote hautachipuka ndani yake, kama maangamizi ya Sodoma na Gomora,+ Adma+ na Seboiimu,+ ambayo Yehova aliangamiza katika hasira yake na katika ghadhabu yake;+

  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+

  • Yeremia 50:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Kama yalivyokuwa maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora+ na miji yake jirani,”+ asema Yehova, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa humo, wala mwana wa binadamu hatakaa humo akiwa mgeni.+

  • Yoeli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nayo Misri itakuwa mahame yenye ukiwa;+ nayo Edomu itakuwa nyika ya mahame yenye ukiwa,+ kwa sababu ya jeuri kwa wana wa Yuda, ambao walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.+

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndivyo pia Sodoma na Gomora na majiji yaliyoyazunguka,+ baada ya hayo kuwa yamefanya uasherati kwa kuzidi mno na kwenda kufuatilia mwili kwa ajili ya matumizi yasiyo ya asili,+ katika namna ileile kama hao waliotangulia kutajwa, yamewekwa mbele yetu kuwa kielelezo cha kuonya+ kwa kupatwa na adhabu ya hukumu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki