Isaya 54:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa; wala usifedheheke,+ kwa maana hutakatishwa tamaa.+ Kwa maana utaisahau hata aibu ya wakati wa ujana wako,+ nawe hutaikumbuka tena shutuma ya ujane wako wenye kuendelea.”
4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa; wala usifedheheke,+ kwa maana hutakatishwa tamaa.+ Kwa maana utaisahau hata aibu ya wakati wa ujana wako,+ nawe hutaikumbuka tena shutuma ya ujane wako wenye kuendelea.”