6 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ulipiga makofi+ na kupiga vishindo kwa miguu, nawe uliendelea kushangilia kwa dhihaka zote ulizokuwa nazo katika nafsi yako juu ya nchi ya Israeli,+
12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.