Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Yoshua akawaambia watu: “Ninyi hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ yeye ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Hatasamehe maasi yenu wala dhambi zenu.+

  • Zaburi 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+

      Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+

      Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+

      Kwa sababu wamekuasi wewe.+

  • Isaya 59:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana maasi yetu yamekuwa mengi mbele zako;+ nazo dhambi zetu, kila moja imeshuhudia juu yetu.+ Kwa maana maasi yetu yapo pamoja nasi; nayo makosa yetu tunayajua vema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki