19 Ndipo Yoshua akawaambia watu: “Ninyi hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ yeye ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Hatasamehe maasi yenu wala dhambi zenu.+
12 Kwa maana maasi yetu yamekuwa mengi mbele zako;+ nazo dhambi zetu, kila moja imeshuhudia juu yetu.+ Kwa maana maasi yetu yapo pamoja nasi; nayo makosa yetu tunayajua vema.+