Zaburi 109:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wawe mbele za Yehova daima;+Naye akatilie mbali kumbukumbu lao kutoka duniani;+ Yeremia 51:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Jeuri niliyotendewa mimi na kutendewa mwili wangu na iwe juu ya Babiloni!’ mwanamke mkaaji wa Sayuni atasema.+ ‘Na damu yangu na iwe juu ya wakaaji wa Ukaldayo!’ Yerusalemu atasema.”+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
35 ‘Jeuri niliyotendewa mimi na kutendewa mwili wangu na iwe juu ya Babiloni!’ mwanamke mkaaji wa Sayuni atasema.+ ‘Na damu yangu na iwe juu ya wakaaji wa Ukaldayo!’ Yerusalemu atasema.”+
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.