Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+

      Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+

      “Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+

  • Methali 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+

  • Maombolezo 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+

      Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+

      Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki