Zaburi 137:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+“Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+ Methali 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+ Maombolezo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+
3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+“Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+
16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+