Mambo ya Walawi 26:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na hakika wao watajikwaa juu ya mmoja na mwenzake kana kwamba ni kutokana na upanga pasipo mtu yeyote kufuatilia, nanyi hamtakuwa na uwezo wowote wa kusimama na kuwapinga adui zenu.+ Yeremia 52:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hawa ndio watu ambao Nebukadreza alipeleka uhamishoni: katika mwaka wa 7, Wayahudi 3,023.+ Ezekieli 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Nami hakika nitawatoa ninyi katikati yake na kuwatia mkononi mwa wageni+ na kutekeleza juu yenu matendo ya hukumu.+
37 Na hakika wao watajikwaa juu ya mmoja na mwenzake kana kwamba ni kutokana na upanga pasipo mtu yeyote kufuatilia, nanyi hamtakuwa na uwezo wowote wa kusimama na kuwapinga adui zenu.+
9 ‘Nami hakika nitawatoa ninyi katikati yake na kuwatia mkononi mwa wageni+ na kutekeleza juu yenu matendo ya hukumu.+