Kumbukumbu la Torati 28:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yehova atakufanya wewe na mfalme wako ambaye umemweka juu yako mpige mwendo+ mpaka taifa ambalo hukujua, wala wewe wala mababu zako; na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine, ya miti na ya mawe.+ Zaburi 106:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Naye akawatia mkononi mwa mataifa tena na tena,+Ili wale wanaowachukia wapate kutawala juu yao,+ Yeremia 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+
36 Yehova atakufanya wewe na mfalme wako ambaye umemweka juu yako mpige mwendo+ mpaka taifa ambalo hukujua, wala wewe wala mababu zako; na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine, ya miti na ya mawe.+
41 Naye akawatia mkononi mwa mataifa tena na tena,+Ili wale wanaowachukia wapate kutawala juu yao,+ Yeremia 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+
6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+